Tuesday, August 25, 2009

Unawahi kufika kileleni? Unachelewa kupata nguvu za kurudia tendo? Dawa ni hii!

Uwanja wetu wa leo, utakuwa na kazi moja tu, kujadili tatizo la kuwahi kufika kileleni, kuchelewa kupata nguvu za kurudia tendo, chanzo na tiba yake. Dhumuni la kuandika mada hii limetokana na maoni ya wasomaji wengi.

Wasomaji hao ambao wengi ni wanaume, waliniomba niwaandikie hivyo ili kunusuru uhusiano wao. Wengine wapo kwenye ndoa, kwahiyo waliniambia kuwa ushauri wangu unaweza kuwa tiba timilifu kwao.

Hivyo basi, kutokana na kutambua umuhimu wao, ndiyo maana sijasita kuandika haya unayoyasoma.

Tatizo la kuwahi kufika kileleni, mara nyingi huendana na mambo mengine ambayo huchagiza wenzi wengi kusalitiana ama kutengana kabisa.

Wanawake wengi wanagombana na watu wao kwa sababu kama hizi, hawavutiwi kuwaona waume wao wakiwahi kufika kileleni, hivyo kushindwa kuwapa dozi inayotosheleza.

Wanasikitishwa na hali ya wenzi wao ya kukosa nguvu za kutosha wakati wa kufanya tendo la ndoa ama ugoigoi wa kuchelewa kurudiwa na nguvu za kufanya kweli.

Aidha, wanakosa amani wanapobaini kwamba wapenzi wao hawana msisimko wakati wa kufanya yale ‘mambo yetu’. Hata hivyo, tunapogeuka kisaikolojia hili si tatizo kubwa, bali linahitaji kutuliza akili.

Ninaposema kutuliza akili, nakuwa namaanisha kuwa wengi hawana magonjwa yanayohitaji dawa, isipokuwa wanasumbuliwa na matatizo ya kisaikolojia tu.

Vijana na baadhi ya watu wazima wengine wanaenda kwa waganga na wakati mwingine wakijikuta wanajiingiza katika matumizi ya mitishamba bila kuelewa kwamba ugonjwa wao haupo kwenye kasoro za kimaumbile, bali upo akilini.

Hapa nataka tukubaliane kwamba jambo kubwa linalowasumbua wanaume wengi wanaodai kuwa hawana nguvu ni ukosefu wa elimu ya mabadiliko ya kibinadamu na ufahamu duni wa mbinu za kuwawezesha kucheza michezo ya kimapenzi kwa ufanisi.

Mpenzi ni sanaa pana, ina mafunzo mengi na ili uimudu, unatakiwa ujifunze kila siku mabadiliko yaliyopo. Sambamba na hilo, kujua mapito, mazingira, mabadiliko ya mwili na kuyakubali ni mambo ya msingi.

Pamoja na matatizo haya kuwakera wanawake kama nilivyotangulia kusema, huwafanya wanaume kukosa amani. Mara nyingi wanaopata dosari hizi, hujihisi wana nuksi.

Hata hivyo, mshangao unaokuja hapa ni kwamba wanaume hupenda kutafuta mbinu za kutatua tatizo lao bila kuwashirikisha wenzi wao, kana kwamba wao haliwahusu.

Saikolojia inatambua kuwa tatizo la upungufu wa nguvu za kiume ni zao la udhaifu wa mke na mume na sio la mwanaume peke yake kama watu wengi wanavyodhani.

Kwa mfano, mwanaume atapata wapi msisimko wa kimahaba kama mwanamke hatakuwa mtundu wa kubuni mbinu za kuufanya mwili uliopoa usisimke?
Atavutiwa nini mwanaume kurudia awamu ya pili, ikiwa kwenye mzunguko wa kwanza alikutana na harufu isiyofaa? Nakshi nakshi humuongezea mwanaume hamu ya kutaka tena na tena. Huo ndiyo ukweli!
Napenda niweke ukweli kweupe, mara nyingi tatizo la msisimko wa kurudia tendo, husababishwa na mwanamke mwenyewe. Kwa maana hiyo, ili litatuliwe ni lazima ziwepo juhudi za pande mbili.

Tuweke kituo kwa leo, nakuomba tukutane wakati ujao ili tuendelee na mada hii. Bila shaka, tutakapokutana ‘ishu’ ijayo, utaweza kung’amua mengi kuhusu somo hili. Mimi na wewe tupo together as one.

Saikolojia inavyotatua tatizo la mwanaume kufika kileleni mapema!

Saikolojia na maisha

Malalamiko yanayotolewa na baadhi yao yanaonesha kwamba, muda wa kumaliza tendo huwa kati ya nusu dakika na dakika tatu kwa tendo la kwanza, huku wengine wakimaliza hamu katika hatua za awali tu za hamasa ya kimahaba.

Hata hivyo, kumetolewa maelezo na nafuu ya ongezeko la muda katika tendo la pili na kuendelea, ingawa bado suala la kutangulia kufika kileleni kabla ya wanawake limekuwa likiwahuzunisha wanaume wengi.

Ni ukweli usiopingika kuwa, mwanaume anapowahi kufika kileleni kabla ya mwenzake humsababishia kero mwanamke anayeshiriki naye tendo, kwani humwacha njia panda pasipokuwa na hitimisho la raha ya kujamiiana.

Hali hii inatokana na maumbile ya uume wa mwanaume ambao husinyaa mara baada ya kuhitimisha mbio zake, lakini kwa mwanamke kuwahi si tatizo, kwani hakumfanyi ashindwe kumsindikiza mwenzake hadi kileleni.

Utofauti huu ndiyo unaowafanya wanaume wahuzunike zaidi wanapokabiliwa na janga hilo kiasi cha kufikia hatua ya kwenda kwa waganga/matabibu ili iwasaidie kuepuka balaa ya kutoka uwanjani na aibu.

Ingawa kumekuwa na mafanikio katika tiba za kisayansi, lakini bado wanaume wameshindwa kupata ukombozi wa kudumu wa tatizo hili. Wengi wamejikuta wakijiongezea mzigo wa fikra kwa kuzitumaini zaidi dawa au kuzitumia na kupata matokeo mabaya zaidi ya kuishiwa nguvu kabisa.

Kwa kufahamu mikinzamo iliyopo kati ya akili na tiba ya nguvu za kiume na madhara yachipukiayo imebainika kuwa, mtu anaweza kujitibu tatizo hilo kwa kutumia kanuni za kisaikolojia na mafanikio yasiyo na madhara yakapatikana.
Wataalamu wa kisaikolojia wanatambua kuwa kanuni ya ufanyaji mapenzi iko zaidi kwenye ubongo kuliko mwilini.

Kinachotokea hadi mtu akapata msisimko wa kufanya mapenzi si mwitikio wa mwili, bali ni utambuzi wa akili juu ya kiwango cha mapenzi kilichopokelewa kwenye ubongo unaojihusisha na hisia.

Thursday, August 20, 2009

DR OSBORN

Product za mimea na matunda

MenPower: Huongeza nguvu za kiume (ya kunywa) @ 35,000
Grey Hair Product: huondoa mvi au nywele nyeupe moja kwa moja @ 35,000

Contact;
0713 66 02 52
0754 23 69 18
0786 23 69 18


WANAWAKE
Slimmer: hupunguza unene (ya kunywa) @ 35,000
Mzuka: huongeza hips na makalio (ya kunywa) @ 35,000
Woman Power: huongeza hisia na hamu ya tendo la ndoa kwa wanawake @ 35000

Contact;
0713 66 02 52
0754 23 69 18
0786 23 69 18

HANDSOME UP / TRIPPLE ACTION

Handsome up ni kwa ajili ya kutibu uume;

Ni kifaa cha uwezo wa 99% kurefusha,kunenepesha na kuongeza nguvu za kiume na kukufanya
ufurahie tendo la ndoa kutoka USA @ 150,000

Contact;
0784 18 37 37
0786 88 83 10

OZYMIX POWER

Baada ya kujichimbia kwa muda mrefu nchini Nigeria mabingwa wa tiba asilia wako Dar wakiwa na dawa yao bora na imara ya nguvu za kiume (OZYMIX POWER).

Upungufu wa nguvu za kiume husababishwa na bacteria ambao hushambulia mishipa iliyo katika uume na kufanya ukose nguvu za kufanya kazi.

Contact; (Piga simu uletewe)
0716 09 62 05
0756 72 68 65

DR. BITUMBA HERB

WANAUME
Kuongeza ukubwa wa uume kwa Jerry @ 60,000
Kuongeza ukubwa wa uume kwa Pump @ 150,000

Contact; (Piga simu uletewe)

0713 51 56 32, 0787 49 45 17


WANAWAKE
Kuongeza hamu ya kufanya tendo la ndoa wanawake @ 35,000
Kuongeza Hips @ 45,000
KUfungua mirija ya uzazi kwa wanawake @ 50,000
Kuondoa chunusi na makovu @20,000
Kupunguza maziwa @ 25,000

Contact; (Piga simu uletewe)

0713 51 56 32, 0787 49 45 17

UTAFITI HERBS

Tatizo la nguvu za kiume na maumbile yake

Contact;
0715 91 96 09

NELI HERBAL

WANAWAKE

Kulainisha ngozi kuwa nyororo @ 30,000
Kupunguza unene @ 75,000
Kuondoa hips @ 35,000
kupunguza na kusimamisha matiti @ 25,000


Contact;
0754 07 00 03
0716 02 43 31

LULU HERBAL COMPANY

WANAWAKE

Bidhaa zimetengezwa kwa mimea na matunda..mashosti wanameremeta na kupendeza wahi sasa.

Kutengeneza figer @ 45,000
Kupunguza unene @ 35,000
Kuongeza unene wa mwili @ 35,000
Kurefusha nywele @ 30,000
Kupunguza maziwa na kuongeza @ 30,000
KUondoa chunusi na madoa @ 20,000

Contact;
0787 49 45 17
0713 51 56 32

TATAIZO LA NGUVU ZA KIUME

Tafiti mbalimbali duniani zinabainisha kunaongezeko kubwa la watu wanaosumbuliwa na tatizo la nguvu za kijinsia (ED au Erectile dysfunction).

Ingawa tatizo hili huwakumba pia wanawake, wenye kuathirika na kuaibika zaidi ni wanaume, kiasi kwamba baadhi hufikia maamuzi mabaya kwa mfano kujiua nk.

Kulingana na taarifa za shirika liitwalo the National Ambulatory Medical Care Survey (NAMCS), nchini Marekani kati ya wanaume 1,000, watu 22 husumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume/kijinsia hasa wale wenye umri wa kuanzia miaka 30 na kuendelea juu.

Aidha kutokana na kukithiri kwa tatizo hilo, NAMCS inasema zaidi ya watu 2.6 milioni wanatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume. Hali ni mbaya pia nchini, hii ndio sababu kuna matangazo mengi ya waganga wa jadi wenye kutibu nguvu za kijinsia, kiasi kwamba inakuwa vigumu kufahamu yupi mkweli yupi mwongo.

Utafiti pia unaonyesha kuwa asilimia 5 ya wanaume wenye umri wa 40 na kuendelea wamekuwa wakisumbuliwa na tatizo hilo, aidha kati ya asilimia 15 na 25 na wanaume wenye umri wa miaka 65 wanakabiliwa na tatizo hili.

Nimewahi kuandika vitabu kadhaa, kwa mfano kile kiitwacho ?Saikolojia na Utafiti? ambacho nilizungumzia mbinu za kupona tatizo la nguvu za kiume baada ya kushirikiana na watafiti mbalimbali duniani. Ninachotaka uelewe ni kwamba tatizo hili linatibika, cha msingi ni kujua nini cha kufanya, sio kukata tamaa kama ambavyo baadhi ya watu wamekuwa wakifanya.

Msingi wa kuwa na maisha yenye amani ni kusaka tiba ya kile kinachokusumbua, sio kulia tu.

Tatizo huanzaje?; Umbile la mume lina sehemu (chambers) mbili muhimu ziitwazo corpora cavernosa, na corpora cavernosa.

Aidha kuna sehemu nyingine inaitwa The spongy tissue ambayo inajumuisha misuli na mishipa ya damu. Mwanzo wa tatizo hilo huanzia kwenye ubongo na kitendo cha mwanaume kushindwa kuwa imara ni dalili ya magonjwa mabaya hasa ya moyo, figo nk.

Hisia zinazoingia kwenye ubongo huamka misuli inayopeleka hisia hizo kwenye umbo la mume. Ndio kusema kwamba kutosisimka ipasavyo kwa mume ni dalili kwamba mfumo wa damu hausukumi vizuri.

Kinachofanyika ni kwamba baada ya msisimko, damu hujaa kwenye eneo liitwalo corpora cavernosa, hapo ndipo mwanaume husisimka na kuwa mwenye nguvu.

Wenye magonjwa kama vile kisukari, figo, wenye kuendeleza vileo, kutokula vizuri, kuvuta sigara, kuacha kufanya mazoezi na kujichua wana uwezekano wa asilimia 70 kupata tatizo la nguvu za kijinsia. Takribani asilimia 35 na 50 ya wanaume wenye ugonjwa kisukari, wanasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume.

Wengine walio katika hatari ya kupata tatizo hili ni wale wenye uzito wa kupita kiasi. Wengine kati ya asilimia 10 na 20 wanasumbuliwa na tatizo hili kwa sababu ya matatizo ya kisaikolojia, kwa mfano kama mwenzi wako alikufanyia jambo baya nk.

Tatizo hili kama nilivyoeleza ni kubwa, hadi ilifikia hatua Mbunge wa Viti maalumu kupitia Chama Cha Mapinduzi, Janet Bina Kahama, 10 Aprili 2007 katika kikao cha saba cha bunge aliuliza swali ambalo lilikuwa namba 8 lenye kipengele a, b, na c ambapo kwenye kipengele b aliuliza: Je, serikali inafahamu ni sababu gani zinasababisha kupungua kwa nguvu za kiume kunakotangazwa sana na waganga wa jadi?

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Prof. David Homeli Mwakyusa alijibu kuwa, upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi, baadhi yao ni lishe duni hasa mboga za majani, kutokula aina mbalimbali za jamii ya karanga (nuts), matumizi yasiyofaa ya ulevi kama pombe.

Alisema sababu nyingine kuwa ni matumizi ya sigara na dawa za kulevya, dawa zinazotibu baadhi ya magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya akili na vilevile kutopumzika kunakosababishwa na shughuli nyingi za kijamii hivyo kusababisha uchovu.

Lakini ni kweli dawa hizi za asili zinauwezo wa kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume? Pro. Mwakyusa anathibitisha kwa kusema kuwa, dawa nyingi za tiba asili ni virutubisho ambavyo muhitaji angeweza kuvipata endapo angekula vyakula vyenye virutubisho hivyo. Pia haijawahi kuripotiwa mtu kuathirika baada ya kutumia dawa hizi.

Ninachotaka kusisitiza katika makala haya ni kwamba ikiwa una tatizo la nguvu za kijinsia, jambo la msingi ni kuangalia staili za maisha unayoishi hasa kwa kuachana na tabia zinazosababisha mtu kupata tatizo hili kama vile ulevi, kuacha kujichua, kujifunza namna ya kuishi na watu tofauti wakiwemo wale wanaokera nk.

Zaidi ya yote unapaswa kujua aina ya vyakula ambavyo ukila vinaweza kukuondolea tatizo hilo. Kwa kawaida kuna vyakula vya aina tofauti, kwa mfamo vya wagonjwa, watoto, watu wa ndoa nk.

Zaidi ya vitu vingine unavyopaswa kuvitumia, unatakiwa kwanza mwenye kutoa tiba kujua udogo au ukubwa wa tatizo. Kumbuka chakula ni chakula, lakini chakula ni tiba, ukitaka kuamini hili, kama una mafua chukua kitunguu swaumu, kiponde jipake chini ya unyayo utapona. Ndio nasema kwamba katika maisha tafuta mbinu za kuondokana na shida inayokukabili kwa njia ya amani, sio kujiua, atafute hufanikiwa, wala usichoke kuhangaika hadi upate unachotaka.

KUKABILIANA NA UPUNGUFU WA NGUVU ZA KIUME

 Wanaume wengi hapa duniani huamini kuwa, mwanaume hasa ni yule anayeweza kufanya tendo hilo kwa muda mrefu na mara nyingi ndio maana vijana wengi utawasikia wakijisifu kuwa, mpenzi wake hakulala usiku mzima kutokana na dozi ya maana aliyompa na ukimuuliza mtu wa namna hii atakwambia kuwa alikwenda mizunguko sita usiku mzima.
Hata hivyo, ukweli ni kuwa, watu wengi hufikia hatua ya kusema uongo ili waonekana kuwa ni wanaume hasa mbele ya wenzao huku wangine wakigubikwa na nadharia kuwa ukubwa wa uume unaashiria jinsi gani walivyo wanaume kitu ambacho si kweli.

Ni mtazamo huu ndio unaowafanya wanaume wakitaniwa au kuambiwa kuwa wako kama wanawake wanaweza waue mtu. Tunaamini kuwa uanamke ni udhaifu na uanaume ni ushujaa fulani hivi.
Wakati hali ikiwa hivyo, hivi sasa wanaume wengi wamekuwa wakihangaika na jambo moja kubwa, kutafuta dawa za kuongeza nguvu za kiume ili kujiongezea heshima faragha!
Ukitaka kuthibitisha hili jaribu kuangalia karibu katika kila gazeti utakalo soma, ni nadra sana kukosa tangazo dogo la biashara lililotolewa na mganga wa kienyeji anayejigamba kuwa anazo dawa za kuongeza nguvu za kiume, na matangazo hayo hayaishii magazetini tu, bali hata redioni pia yapo.
Mbaya zaidi dawa zinazoongelewa hupewa majina mengi ya `kusisimua` kama kombora, simba na nyati siushasikia mziki wa nyati akikasirika sasa jenga picha nuvu ya hiyo dawa, hata hivyo, dawa nyingi ni uzushi tu na hupewa majina hayo ili kuwavuta wateja na kuwashawishi kuzijaribu, enewei ndivyo biashara zilivyo.

Wingi huu wa matangazo umeanza kuonekana katika miaka ya hivi karibuni, na kadiri siku zinavyozidi ndivyo idadi ya waganga wanaojigamba kuwa na dawa hizo inavyozidi kushamiri, kuna waganga wenye dawa za Kiswahili, Kiarabu na za Kichina ndio usiseme!
Binafsi utitili wa matangazo haya umenifanya niamini kuwa, kuna tatizo kubwa la wanaume kupungukiwa nguvu hizo, na ingawa hakuna utafiti wa kitaalamu uliofanywa rasmi, lakini inaonyesha kuwa tatizo hilo kwa sasa ni kubwa sana na si Tanzania tu, bali ni dunia nzima.

Kutokana na hali hiyo ndipo waganga wa kienyeji pamoja na makampuni mengi makubwa duniani hujaribu kuelekeza nguvu zao katika kufanya utafiti wa kutengeneza dawa za kusaidia watu wenye tatizo hilo, na bahati nzuri kwa makampuni na waganga hao ni kwamba inaonekana kama biashara inawaendea vizuri.
Kwa mujibu wa utafiti wa taasisi moja ya biashara ya dawa za aina hiyo nchini Uingereza, imebainika kuwa asilimia 46 ya wanaume nchini humo hutumia dawa hizo, hata hivyo wengi wao huzitumia bila ya kupata ushauri wa daktari na maduka mengi ya dawa yametozwa faini kwa kuwauzia dawa hizo bila ya kuwa na vyeti vya daktari.
Kupungua kwa nguvu miongoni mwa wanaume wengi kumesababisha wengi wao waishi katika maisha na hali ya usononekaji na wengine wamekumbwa na umauti kutokana na hali hiyo ya kuishi na sononi kwa muda mrefu.

Kuna mambo mengi yanayosababisha wanaume wengi wajikute wakipungukiwa nguvu za kiume, wataalamu wa masuala ya saikolojia wanaamini kuwa mara nyingi suala hilo, hasa kwa watu wenye umri wa chini ya miaka 45, husababishwa na msongo wa akili kuliko ufanyaji kazi wa misuli ya mwili.

``Watu wengi wanaofikiri kuwa wamepungukiwa na nguvu hizo huwa hawako hivyo,`` inasema sehemu moja ya utafiti uliofanywa na wataalamu wa Chuo Kikuu cha Havard, nchini Marekani na kufafanua kuwa:

``Tatizo la watu hao huwa ni kushiriki tendo hilo kwa wakati usio muafaka kwao, wanashiriki wakati bado hawajajitayarisha kiakili au wanapokuwa wamejitayarisha, basi `njiani` hukutana na wenzi ambao hawaafiki mwelekeo wa `safari` yao``.

Wataalamu wa masuala ya vyakula nao wanaeleza kuwa tatizo hilo huwapata wanaume wengi kwa sababu ya utumiaji wa vyakula vyenye kuongeza kiwango kikubwa cha mafuta mwilini ambao hawashiriki katika mazoezi ya viungo ambayo huifanya misuli ya damu mwilini kutokufanya kazi vizuri na hivyo kusababisha matatizo mengi ya mwili kushindwa kufanya kazi zake vizuri.

Kumbukumbu yangu inaonesha kuwa, Mheshimiwa Mbunge wa Viti maalumu kuputua tiketi ya Chama Cha Mapinduzi, Janet Bina Kahama, 10 Aprili 2007 katika kikao cha saba cha bunge aliulizwa swali ambalo lilikuwa namba 8 lenye kipengele a, b, na c ambapo kwenye kipengele b aliuliza: Je, serikali inafahamu ni sababu gani zinasababisha kupungua kwa nguvu za kiume kunakotangazwa sana na waganga wa jadi?

Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Prof. David Homeli Mwakyusa alijibu kuwa, Upungufu wa nguvu za kiume unasababishwa na mambo mengi, baadhi yao ni lishe duni hasa mboga za majani, kutokula aina mbalimbali za jamii ya karanga (nuts), matumizi yasiyofaa ya ulevi kama pombe, sigara na dawa za kulevya, dawa zinazotibu baadhi ya magonjwa kama kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya akili na vilevile kutopumzika kunakosababishwa na shughuli nyingi za kijamii hivyo kusababisha uchovu.

Lakini ni kweli dawa hizi za asili zinauwezo wa kutatua tatizo la upungufu wa nguvu za kiume? Pro. Mwakyusa anathibitisha kwa kusema kuwa, dawa nyingi za tiba asili ni virutubisho ambavyo muhitaji angeweza kuvipata endapo angekula vyakula vyenye virutubisho hivyo.

Pamoja na kuwa dawa hizo hazijafanyiwa utafiti wa sayansi ya leo na kutokana na unyeti wa usiri wa watumiaji wa dawa hizo zingekuwa na madhara zisingetumiwa na wananchi hata huko zinakotoka yaani maeneo yake ya asili.

Na kusisitiza kuwa, Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii haijapokea taarifa ya tukio kutoka kwa walalamikaji wanaotumia dawa hizo za kuongeza nguvu za kiume.

Hata hivyo, hali ni tofauti kidogo katika nchi zilizoendelea kama Marekani na baadhi ya nchi za Ulaya, matumizi ya dawa hizi hutolewa kwa watu baada ya kuandikiwa cheti na daktari, na watu wenye matatizo ya msukumo wa ndamu (BP), mara nyingi wamekuwa wakishauriwa kutotumia dawa hizo kwa sababu ni hatari kwa maisha yao.

Hii ni kwa sababu dawa nyingi, kama Viagra, Ciallis, Levitra, Yohimbine na nyingine mbali ya kuwa na nafasi ya kusababisha magonjwa ya moyo, kwa watu wasiokuwa nayo, pia yana madhara mengine kama vile kusababisha upofu na kuleta hali ya mwili kuwa na kitetemeshi.

Madhara mengine ya dawa hizo ni pamoja na kumsababishia mtumiaji hali ya kuumwa na kichwa mara kwa mara, macho kuwa mekundu, kuziba kwa hewa puani na maumivu ya tumbo pamoja na kuharisha.

Haya ni aina ya madhara yanayotokana na dawa za kizungu, ambazo kabla ya kuingia madukani kufanyiwa utafiti wa kina kuangalia madhara yake kwa watumiaji, na ingawa hayo yote yanafanyika lakini bado athari zake kwa watumiaji zinaonekana.

Mwandishi na muandaaji mkongwe wa filamu nchini ambaye kwa sasa anaishi Marekani, Chemi Che-Mponda alishawahi kuandika makala isemayo ‘kukosa nguvu za kiume si mwisho wa dunia!’ na katika makala hiyo kulikuwa na hadithi hii isome ili ujue kinachoweza kukutokea kwa kujifanya mjuaji na kuagiza dawa za kuoneza nguvu kwenye mtandao.

Chemi alianza hivi: “Jamani, jamani, jamani, kuna jirani yangu kafa hivi majuzi. Alikuwa ni baba wa makamu, mmarekani mweusi. Alikuwa mcheshi na ilikuwa kila tukionana lazima tusalimiane.
“Mara ananinunulia kahawa halafu tunakaa namsimulia kuhusu Afrika. Yule baba, alionekana mzima na mwenye afya fiti kabisa. Nilibakia kushangaa kusikia kafa na si kwa ajali. Mke wake alifariki mwaka juzi, lakini miezi ya karibuni alikuwa anaonekana mwenye furaha kwa vile alipata mpenzi, dada mwenye miaka 25 hivi.

”Story niliyosikia ni hivi: Kumbe jamaa alikuwa na matatizo ya moyo. Alifia kitandani akiwa kwenye shughuli ya kufanya tendo la ndoa na mpenzi wake. Tena wanasema alifariki mara alipofikia kilele cha tendo.“Navyosikia ilikuwa ni ‘massive heart attack’. Kama ni massive bila shaka na utamu wa shughuli hakujua kuwa yuko hatarini. Mpenzi wake alipiga sana kelele, majirani walipigiga simu 911 (polisi) kwa vile walidhania wameingiliwa na majambazi.

“Kumbe jamaa alikuwa mtumizi wa Viagra, yaani vile vidonge vya kuongeza uume, na kumpa mwanaume uweza wa kufanya tendo la ndoa. Ndugu zake wanalamika kweli, maana hakuzipata kwa prescription (maelezo) ya daktari, alizaiagiza kwenye mtandao (internet).
Hiyo ni baadhi ya mifano hai inayoonesha wazi madhara unayoweza kupata kwa kuamua kutumia tu dawa bila maelekezo kutoka kwa daktari!

Binafsi nina hofu juu ya dawa ‘za kienyeji’ zinazotengenezwa na waganga na kuuzwa kama karanga kila kona ya miji mbalimbali ya Tanzania bila ya kufanyiwa utafiti wa kina, ni wazi kama kanuni za kiafya zinavyosema, kuwa kila dawa ina madhara yake, lakini je, ni nani anapima madhara mabaya yatokanayo na dawa hizi za kienyeji zinazouzwa kama njugu?

Ukiacha madhara yatokanayo na dawa hizo, pia wanaume wengi hukumbwa na tatizo hili la kupungukiwa nguvu kwa sababu ya uvutaji wa sigara kwa wingi, utafiti mbalimbali wa kitabibu duniani unaonyesha kuwa matumizi ya bidhaa zitokanazo na tumbaku huwasababishia wanaume upungufu wa nguvu hizo.

Ni kweli ulio wazi kwamba tatizo la wanaume wengi kupungukiwa nguvu za kiume nchini kwetu na duniani kote linazidi kushika kasi na tiba mbadara zinahitajika ili kurudisha heshima na furaha miongoni mwa wanaume wengi duniani, lakini utumiaji wa dawa za kuongeza nguvu haupaswi kufanyika kiholela kwa kuzingatia kuwa matatizo yake kiafya ni makubwa kuliko faraja ya muda mfupi anayopata mtumiaji!

Siku moja nilikuwa nimekaa kwenye kijiwe cha kahawa Kariakoo jijini Dar es Salaam nikachokonoa wazee kwa kuchomekea mada hii, mambo mengi walinieleza lakini kubwa zaidi ni kuwa, vijana wa siku hizi wanakubwa zaidi na tatizo hili kutokana na kufakamia vyakula visivyo vya asili na kusahau kuwa, miogo, asali, karanga na pweza huweza kukusaidia ukawa na nguvu kama nyati. Vyakula vingi vinavyoingizwa nchini vikiwa vimesindikwa ambavyo vijana wengi hukimbilia na kujiona kuwa, babu kubwa wakivila hivyo na kumcheka mzalendo anayepata muogo wa kuchoma na chachandu huku akishushia na juisi ya mua pale Kariakoo bila kujua kuwa sehemu kubwa ya aina nyingi ya vyakula wanavyokula ni sumu yenye ladha nzuri inayonenepesha! Madhara yake ni mengi na miongoni mwake ni kuwasababishia watumiaji kukosa nguvu za kurudia tendo.

Hata hivyo, kuna wakati pia upendo unapopungua na mvuto unapungua baina ya wanandoa, mwanaume anaweza kujikuta kila akiwa faragha anashindwa kuendesha gari kwa muda mrefu na anaweza kudhani kuwa ana matatizo kumbe hali hiyo inamkumbwa kutokana na kutokuvutiwa na mwenzi wake.

Tatizo kama hili linaweza kutatuliwa kwa kumueleza wazi mkeo ama mpenzi wako jinsi gani anaweza kujipanga na kuonekana na mvuto wa hatari utakaokufanya uchanganyikiwe kila umuonapo na hata mkiingia kwenye mambo fulani basi kwa hakika utahamasika na kutoa dozi ya maana.

Uchovu wa kazi za ajira
Mkufunzi wangu wa saikolojia katika Chuo Kikuu cha Tumaini Iringa ambaye ameshatanulia mbele za haki, Pro. Samuel Mshana (Mungu amlaze mahali pema peponi) aliwahi niambia kuwa wanawake wanataka security kutoka kwa mwanaume nami nikamtania Pro. Sasa mbona mimi na mwili mdogo nitampa ulinzi gani mwanamke akacheka kisha akaniambia ulinzi naouzungumzia ni wa jumla ikiwa ni pamoja na kuhakikisha mambo yanakwenda sana ndani ya nyumba yani watoto wanakwenda shule na mambo ya mlo wa uhakika.

Hivyo ni wazi kuwa wanaume huhangaika kwa kiasi kikubwa kuhakikisha wanamudu majukumu yao ya kila siku na huko makazini kuna mauzauza mengi na usiombe ufanye kazi kwenye kampuni binafsi kila kukicha wewe upo roho juu sasa katika hali kama hiyo ukikutana na mwenzi wako kunako majambozi utahisi una upungufu wa nguvu za kiume kwani mara tu baada ya kumaliza mshindo wa kwanza hutoweza kurudia tena! Hali ni hivyo hivyo kwa watu wanaofanya kazi nzito zinazosababisha wajikute wanarudi majumbani wakiwa wamechoka.

Hivyo basi, endapo nawe ni miongoni mwa watu wanaokumbana na tatizo la kushindwa kurudia majambozi kwa sababu ya uchovu na msongo wa mawazo kutoka kazini hakikisha unapanga muda muafaka na mwenzi wako kupeana raha.

Mfano kama Jumamosi unafanya kazi nusu siku ukitoka usiende kulewa kama ni mtu wa kinywaji bali nenda kapumzike kisha kesho yake waweza kumtoa out mama na kwenda mazingira tofauti kupeana kitu roho inapenda hakika utajishangaa jinsi utakavyomudu majambozi.

Kuchacha
Nakumbuka vema miaka ya 1990 enzi hizo Redio Tanzania pekee ndio ilikuwa ikitupa burudani na moja kati ya nyimbo ambazo ilikuwa ikinikuna ni ‘kuchacha usiombee’ iliyoimbwa na Juwata Jazz na hichi ni kibwagizo chake ‘Maradhi yote ugua lakini kuchacha usiombe…’ ebwana usije ukawa katika hali mbaya kifedha na kila jambo unalolipanga linakwenda ndivyo sivyo hali inayokusababishia uchache kisha mwenzi wako akakuomba unyumba hapa kuna mawili ama kuchelewa sana kufika safari yenu ama kumaliza halaka kisha jamaa analala chapchap na hataki tena kuonesha ushirikioano hata mamaa akimbembeleza vipi!

Hivyo basi, si vema kukutana kimwili na mwenza wako kipindi ukiwa umechacha kwani wanaume wengi pindi wanapokuwa na msongo wa mawazo hukimbilia kuomba unyumba kwa wenzi wao wakiamini kuwa, wao ndio watawasaidia kuwapunguzia mawazo badala ya kutafuta njia mbadara ya kumaliza tatizo.

Kuishiwa hamu ya nyama na mapishi yale yale kila siku
Uzoefu wangu unanionesha kuwa wanaume wengi hujikuta wakikosa hamu ya kurudia tendo la ndoa mara bada ya kumnaliza mzunguko wa kwanza kutokana na wake zao kutowaonesha ubunifu yaani kila siku ni kifo cha mende tu hakuna jipya linaloongezwa hata nakshi za miguno ni ile ile hali inayosababisha wanaume wakose hamy ya kuendelea mara baada ya kumaliza mzunguko wa kwanza.

Wanaume wengi hujikuta wanalazimika kutafuta kimada ili kupata radha mpya na huko mambo huwa mulua kwani hufanikiwa kwenda raundi hadi tatu na bado akawa na hamu kwa vile tu amekutana na vitu adimu hivyo basi, mwanaume anapaswa kumueleza wazi mkewe kuwa anahitaji wakutane faragha ambapo anataka vutu hadimu vya kabatini na si kumsaliti mwenza wako kwani uwezo wa kumfanya awe bora kunako majambozi unao wewe mnwenyewe mwanamme.

Mfano siku akikwambia anakwenda kwenye kitchen party mruhusu kisha akiwa huko mtumie meseji kuwa, “mpenzi najiandaa kumalizia sehemu ya pili ya soma ulilojifunza yaani la vitendo, hakika leo nitafaidi” asikdanganye mtu hapo hata kama bi. Harusi mtarajiwa hakufundishwa mambo fulani ya kumpagawisha mumewe atahakikisha hakuangushi atakuja na mambo mapya na hapo ndipo mwanaume hujikuta akiganda kifuani.

Nimalize kwa kusema kuwa, hakuna haja ya kukurupuka na kukimbilia kununua dawa za kuongeza nguvu ya kiume bila kutafakari kwa kina chanzo cha tatizo lako kwani yawezekana tatizo ulilonalo linaweza kutatulika kwa njia nyingine ambazo hazitakufanya uwe hatarini.

KUAMSHA HAMASA YA MWANAMKE

Wanaume wengi huelewa kuwa kuna umuhimu wa kumuandaa mwanamke kwa kumshika shika maungo yake ya mwili lakini wengi hupuuzia suala hili kwa kuwa wao hamasa yao ya mapenzi huamka na mwili husisimka tayari kwa kuanza kushiriki tendo la ndoa mara tu baada ya kuona mwili wa mwanamke ukiwa mtupu.

Mwanaume wa namna hii huwa hawezi kumfikisha mwanamke kwani mara baada ya kumuingilia mwanamke ambaye hayupo tayari kuingiliwa kimwili kwa kuwa hajaandaliwa, mwanaume hujikuta anafikia mshindo ndani ya sekunde kadhaa na hata akitaka kuzuia bao hushindwa kufanya hivyo, hivyo hujikuta amemaliza haja zake za kimwili na kumuacha mwanamke pengine akiwa hata wazimu haujampanda na kwa bahati mbaya aking’amua hushindwa kurudia tena tendo kwani haitasimama tena.

Wataalamu mbali mbali wa mapenzi wanabainisha ya kuwa wanaume wenye kutumia muda mwingi kumuandaa mwanamke huweza kujizuia kufika mshindo mapema na hivyo hudumu kifuani kwa muda mrefu na hata kufanikiwa mfikisha mwanamke kileleni zaidi ya mara moja.

Hata hivyo muda wa kushikana shikana hutofautiana baina ya mwanamke na mwanamke, wanawake wengi husisimka kutokana na kushikwa matiti, matiti ya mwanamke mara nyingi ni yenye kusisimka sana endapo yatatomaswa vizuri kimahaba ama kwa kutumia mikono au mdomo kupekecha chuchu mithili ya mtu anayemung’unya pipi na wazimu ukianza mpanda ncha za matiti husisimka na kujitokeza yaani hudinda na hali hiyo hujitokeza sehemu zake za siri pia kwa mashavu ya k kupanuka na kuwa na hali ya kusisimka huku kinena kikimsimama na tezi zake hutoa ute.

Ute hutoka mahususi kuruhusu uume kupenya kwa urahisi, hata hivyo si wanawake wote huamsha hamasa ya mapenzi kwa kuchezewa matiti hivyo basi mwanamke anatakiwa kumwongoza mwanaume kwa maneno ama kwa kuweka mikono eneo anataka ashikwe ili apate hamasa ya mapenzi.

Aidha, wanawake wengine huwa hawana ujasiri wa kumwongoza mwanaume kumtomasa sehemu inayomnyegesha, hivyo kujinyima raha ya mapenzi. Hivyo mwanaume anapaswa kumshika shika mwanamke sehemu mbali mbali kama shingoni, mabegani na kumbusu sehemu ya juu ya mwili wake taratibu akiteremsha mikono kwenye sehemu za siri za mwanamke lakini ahakikishe hana kucha zenye ncha na vidole vikavu ili kutomuumiza mpenziwe na kusababisha ashki impotee gafla na asitake tena mambo!

Hapa ili zoezi liwe lenye mafanikio mwanamke anatakiwa kuonyesha ushirikiano kwa kutoa miguno ya kumchanganya mwanaume huku akitanua vema miguu ili mwanaume aweze kushughulika vema na sehemu inayozunguka kinena, hadi atakapobaini mabadiliko ya moyo wa mke, ngozi kuwa na joto, pumzi kuongezeka, uso kukunjamana mithili ya mtu anayeumia na anaweza lia kwa utamu anaousikia na hapo mwanaume anaweza kumwingilia kwani huwa tayari kuingiliwa kimwili.

:-Ukisoma mada hii mtumie na rafiki yako link hii ili ajifunze kwani lengo la blog hii ni kuelimisha jamii nzima ili kila mtu afurahie mapenzi.!

SHOSTI NA STYLE YA KUKUFUKISHA (Kwa Wanawake)

Inasemekana kuwa asilimia kubwa ya wanawake huwa hawafikii kabisa kutokana na ama kutojua staili au kuwafikilia zaidi wanaume wawapo kwenye majamvozi hivyo basi kwa kutambua hili nimeamua kuwadondoshea staili mojawapo itakayowafanya nyote mfurahie majambozi na nyote mvishuhudie vilele vya mlima kilimanjaro. Sasa endelea mwanawane na kama imekugusa achia comment zako:-

Mkato wa kilokole uliorudufiwa

Huu ni mkao wa kizamani ambao naaamini kila aliye na mpenzi ashawahi kuudadavua kunako majamvozi ndio! Nani anabisha na kwa taarifa yako huu ni mkao maarufu sana kwa mlo wa usiku ambapo mimi hupenda kuuita mkato wa kilokile hahahahh.

Hata hivyo, mtumiaji wa mkao huu asipokuwa makini basi atajikuta akishindwa kumfikisha la azizi wake kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro.

Hivyo ili nyote muweze kufika safari yenu inabidi mwanamke awe makini kuhakikisha haachwi njiani na dereva (madereva wengi huwa na papara ya kufika kileleni na kuwasahau wenza wao) na mbaya zaidi huwaacha wakiwa na muhemko wa hali ya juu na hii ndio sababu mojawapo ya midume mingi kuliwa zao zabibu.

Mwanamke anapaswa kuwa mwepesi ili aweze kupata raha ambayo wengi huishiwa kusimuliwa na mashoga zao na mbaya zaidi wengi huongeza chumvi kuwarusha roho wenzao! Wepesi utakuwezesha wewe mwanamke pindi utakapokuwa umelala kifo cha mende kuinua miguu yaki juu huku ikiwa imeyengeneza alama ya V huko dereva akiwa tayari kwa kuianza safari, taratibu kunja sehemu ya magoti kisha yapeleke magoti yako kifuani na ili usichoke ama kuumia kwa zoezi hilo basi egesha miguu yako kwenye mabega ya dereva wako.

KWANINI UFANYE HIVYO?

Mkao huu utamfanya dereva aweze kupachika gia apendavyo kwani kila atakapotupia gia mambo huwa shwari kabisa huvyo mwanamke anaweza kumuimbia ule wimbo ‘chukua chukua yote yako’ hahah watu wa enzi hizo wanaukumbuka mimi umenitoka ila leo nikienda baa mitaa ya kati nitamuuliza Dj ni wa nani wimbo huo kisha nitawanyetishia.

Hapa dereva anaweza kupata nafasi ya kukanyaga krachi hadi mwisho na akitoka huko anasugua k.s.m. (unganisha herufi zilizomiss) na kusugua kuta za K hali itakayomfanya mwanamke ajisikie raha ya ajabu na mwisho wa siku mwanamke atakuwa mmoja kati ya wachache wanaofanikiwa kuviona vilele vya mlima wa kilimanjaro kwa kushiriki tendo la ndoa!

KUMBUKA:

Mazoezi ni muhimu ili kufanikiwa kumudu staili hii ambayo ni bab-kubwa, nimalize kwa kuwatakia kila la kheri katika kujaribu staili hii na kudadavua raha isiyo na kifani.

JIANDAE KABLA YA KUONGONOKA

Wapenzi na wanandoa wengi hivi leo wanapoingia kitandani tayari kwa kuianza safari ya kupeana haki zao za msingi hushindwa kufurahia tendo na hasa hali hii hujitokezwa kwa wanawake kwani mwanaume huwa na haraka iliyopitiliza!

Mwanaume atamkumbatia na kumbusu mwanamke kwa muda mfupi na kabla hata hamasa ya mapenzi ya mwanamke ahaijashika hatama, atamwingilia na ndani ya dakika sekunde ama dakika zisizozidi 3, mwanamme hufika mshindo.

Katika hali ya kusikitisha baada ya mwanaume kujitosheleza hujongea pembeni bila kujali mwenza wake hajafika mwisho wa safari hali inayosababisha mwanamke kupoteza hamu ya tendo endapo endapo tabia hiyo ya mwanaume itaendelea.

Kunahatua nne muhimu ambazo wapendanao wakizishika na kuzitekeleza ipasavyo basi watafanikiwa kujitosheleza kila wanapokutana na kwa hakika watakuwa miongoni mwa watu wachache wanaofurahia faragha kila wakutanapo!

Hatua ya kwanza ni kusameheana:
Wanandoa wengi hushindwa kupata raha ya mlo wa usiku kutokana na kushindwa kumaliza tofauti zao kabla ya giza halijaingia, mgogoro wowote baina ya wapendanao ni lazima umalizwe kabla ya kukutana kwa ajili ya mlo wa usiku. Hii husaidia kuondoa kinyongo miongoni mwao na kuwafanya mioyo yao igubikwe na upendo ambao humfanya ahamasike kunako majambo!

Hivyo basi endapo unataka kufurahia mambo fulani hakikisha unamaliza tofauti, ombaneni msamaha na samehaneni kwa dhati kwani kwa kufanya hivyo kutawasaidia muwapo faragha kufurahia kile mnachokifanya kwa kuwa mtakuwa mmemalzia tofauti zenu.

Hatua ya pili ni mchezo ya mahaba:
Mashamsham hunoga na kupamba moto kiasi cha kumfanya yoyote aliye kwenye uwanya wa raha kusahau kwa muda shida na matatizo yanayomuandama pale anapokutana an mtu anayeweza kumpagawisha kwa michezo ya mahaba kabla ya kuianza safari yenyewe!
Michezo hii husaidia kuamzsha hamasa na muhemko baina ya wapendanao, hivyo ili wapendanao waweze kufika mwisho wa safari pamoja na kila mmoja alidhike na udereva wa mwenzake uliowafikisha safari yao lazima watumiye muda wakutosha katika michozo yakimahaba!

Hata hivyo kila mmoja wenu anapaswa kuujua mwili wa mwenza wake. Mwili wa mwanaume ni rahisi kuuelewa kwani una sehemu moja kuu ambayo ni kama kiini cha muhemko na msisimko wa mapenzi. Sehemu hiyo ni uume. Hivyo endapo mwanamke yoyote atatumia muda wakutosha kuhangaika na sehemu hiyo basi mambo huwa safi kwa upande wa mwanaume.

Mwili wa mwanamke una shughuli pevu kubaini sehemu zenye ambazo huamsha hisia za mapenzi na ndiyo maana wanaume wengi hushindwa kuwafikisha mwisho wa safari wapenzi wao. Kiini cha hisia za mapenzi kwa mwanamke ziko kwenye kipegere G (namaanisha critoris wadu, haya ni mambo ya infenizimu tu). Kipegere G kipo nje ya uke ambapo wataalamu hudai kuwa kipo sentimita 4 kutioka ukeni.

Wanaume wengi wanaelewa hili lakini walio wengi wamegubikwa na imani potofu kuwa, kwa kuingiza kidole ukeni watafanikiwa kuinua hamasa ya za wenza wao kutaka kuanzisha safari jambo ambalo si kweli, kwani wanawake wengi hujisikia vibaya kuingizwa vidole ukeni kutokana na ukweli kwamba kucha zinabeba uchafu na bakteria wengi ambao huwasababishia kupata fangasi!

Hivyo basi, endapo wewe ni miongoni mwa wanaume waliokuwa wakiaminin dhana hii nataka nikujulishe kuwa, ukitaka kumpa msisimko uliotukuka mwenza wako usiangaike kuingiza kidole chote ukeni badala yake hakikisha unatumia kidole chako (hakikisha si kikavu) kucheza na sehemu ya nje ya uke ambapo utakutana na kipegere G na lips za ndani. Hata hivyo usisahamu kuhangaika na uke pia lakini hasa shughulika na sehemu za nje!

MUHIMU KUJUA: Mwanaume huahamasika kwa sekunde kadhaa lakini mwanamke humchukua takriban dakika 20 kuweza kuamsha hisia zake na kumfanya awe tayari kwa kuianza safari! Hivyo, mwanaume mwenye busara yaani asiye mbinafsi huakikisha anatumia muda wakutosha kumuuanda mwenza wake kabla ya kuanza safari! Hivyo mwanaume anapaswa kunza michezo ya mahaba kwa kuzingatia hatua tatu muhimu ambazo ni:-
Sehemu ya juu:

Wanume wengi kutokana ana haraka zao hukimbilia sehemu ya chini ya mwili wa mwanamke na kuacha s............... itaendelea

MSAIDIE ASHINDE VISHAWISHI

Kila mwanaume anapaswa kujua nini kinachomfanya mwanamke/msichana apagawe kunako sita kwa sita, hali kadhalika mwanamke anapaswa kufahamu mambo kadha wa kadhaa ambayo akimfanyia mwenza wake atamfanya avishinde vishawishi vya kumsaliti. Hii inamaanisha nini?

Inamaanisha kuwa, kila mwanaume na mwanamke anapaswa kufahamu jinsi gani wanaume walivyo tofauti na wanawake.

Mwanamke anapaswa kufahamu kwamba wanaume huamsha hisia za mapenzi kutokana na kile wanachokiona. Hivyo pindi anapoona msichana mwenye shepu akiwa amevaa nguo inayoiweka shepu yake bayana, ghafla hisia kali za mapenzi humjia, hata kama anajua baadhi ya utu ama tabia zake mbaya.

Kuona tu jinsi binti alivyoumbika, hiyo ni tosha kwake kumfanya ahitaji kuwa naye faragha na hapo ndipo atakapoanza kupigana na mhemuko wa mwili wake kujizuia kuingia katika kishawishi cha kufanya ngono na mrembo aliyemuona.

Kwa upande mwingine, wanaume wanapaswa kufahamu kwamba wanawake wapo tofauti. Hisia za mapenzi za mwanamke huamka pindi mwanaume anapomtimizia mahitaji yake ya moyo wake. Huhisi kupagawa pindi anapokutana na mtu ambaye anaweka kipaumbele mawasiliano baina yao na kujali hisia ama mawazo yake.

Kwa mwanamke muelewa mara nyingi muonekano wenye mvuto pekee kwake haumuingizi kwenye vishawishi kwa kiasi kikubwa kama ilivyo kwa wanaume. Kitu pekee kwake kinachoamsha hisia zake za mapenzi kwa haraka zaidi ni kuwa na mwanaume anayeongea naye, kumsikiliza, kuthamini mawazo yake, na kufikiria mahitaji yake muhimu. Pindi mwanaume wa aina hii anapomwambia “ Nakupenda..muache mumeo tutumia usiku wa leo pamoja,” huhitaji kutumia busara na hekima kuweza kuvishinda vishawishi vya kutoa penzi kwa mwanaume wa aina hiyo!


Aidha, watu wengi walio katika mahusiano hujikuta wakikumbwa na matatizo kadha wa kadha wawapo faragha kwa sababu tu mwanaume na mwanamke hawajui tofauti iliyopo baina ya mwanaume na mwanamke. Mfano, mwanamke anaweza kupanda kitandani akiwa amevaa pajama ambalo halioneshi shepu yake huku mwanaume akitamani kumuona mpenzi wake akiwa amevalia nguo ya usiku inayomtia hamasa ya mapenzi ama kumuona akiwa hajavaa chochote! Anahitaji kumuona mpenzi wake vema hivyo kumuona akiwa katika vazi lisilompa nafasi hiyo kunamkwaza.

Hapa kosa kubwa lipo miongoni mwa wanawake wengi ni kuwa “ Ameshaniona mwili wangu zaidi ya mara 1000.” Hivyo kwao kumpa nafasi mwenza wake kuuona mwili wake hakuna umuhimu.

Kimsingi wanawake wa namna hii ndio mara nyingi hujikuta waume zao pindi wanaporejea nyumbani huishia sebuleni na kusoma gazeti. Anajihisi kuchoka, hahitaji mkewe ama mtoto amsumbue na akikalibishwa mezani kwaajili ya chakula huongea maneno yasiyozidi kumi.

Hufanya haya yote si kwa sababu anamchukia mkewe la hasha bali hugeuka kuwa mbinafsi anayetaka kutumia muda wake kujipumzisha na kufikiria mahitaji yake na si ya mwenza wake.

Hatua hiyo ikijitokeza baina ya wapendanao mambo huharibika, hamasa ya mapenzi kwa mmoja wao hutoweka kwani inapofika wakati wa kwenda kujipumzisha kitandani. Mwanaume anapomuona mwenza wake akitoka bafuni akiwa na kanga moja iliyomshika vema maungo yake, mapigo ya moyo na damu humuenda mbio akitamani kumkumbatia bibie ili apate kitu roho inapenda!

Wakati mwanaume akiwaza hayo, mambo huwa tofauti kwa mwanamke kwani hutawaliwa na maswali kadhaa kama “ Hivi ni kweli ananipenda? Namashaka. Haongei nami wala kunisaidia kwa lolote. Anachotaka ni kunitumia kama chombo cha starehe tu huyu.”

Hivyo basi, mwanamke atamuachia mwenza wake mwili autumie atakavyo kutimiza haja zake, lakini hatafika kilele kamwe kwani hatahisi anapendwa bali anatumiwa kama chombo cha starehe.

Hata hivyo, pindi mwanaume atakapokuwa akijipa raha toka kwa mwenza wake huyo, atatawaliwa na woga kwa sababu ataona wazi kuwa bibie hafurahii tendo la ndoa. Hivyo atajiuliza maswali mengi “ Kwa nini nimeshindwa kumpagawisha mamaa? Je, nyeti yangu ni ndogo?”

Hapa ndipo mwanamke anapotakiwa kumueleza bayana kuwa, “ Uume wako upo sawa ila mawasiliano yako kwangfu ni finyu.”

Kimsingi mwanaume anaporudi toka kazini anapaswa kuzungumza na mwenza wake, kujenga urafiki naye, kumuoneshe kuwa anamjali na kuthamini utu wake na usimfanye ajione kama mtu baki.

Aidha, mwanaume anapaswa kumueleza mwenza wake kuwa, “ Unapokuwa kwenye jumuia, vaa nguo ambazo hazitaamsha hisia za mapenzi kwa watu baki, lakini unapokuwa nyumbani hakikisha unavaa nguo hizo kwaajili yangu tu.”

Kufanya hivyo kutamueleza mumeo kuwa, “unampenda yeye tu na wanaume wengine hawana nafasi katika moyo wako!

Mwisho nimalize kwa kusema kuwa, wanawake huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume ambao huyapa kipaumbele mawasiliano, lakini mawasiliano hayo humpagawisha zaidi yakiwa ya kirafiki zaidi (fanya kama unawasiliana na rafiki yako, usiogope kumchombeza na utani inapobidi) na pia hukoshwa na wanaume wanaowajali.

Kwa upande wa mwanaume, yeye hisia zake huamka pindi anapoona shepu (wapo wanaopenda wenye figa za kibantu na wengine za kimiss).

Hivyo, kama mmefanikiwa kupata watoto wa wa kike hakikisheni mnawaeleza kuwa, nguo za aina fulani huamsha hisia za mapenzi kwa wanaume, kwa hivyo waache kuzivaa nyumbani hata mitaani kujiepusha na vishawishi.

MFIKISHE MSHINDO MWANAMKE

 Kama upo kwenye uhusiano wa mapenzi na mwanamke ambaye ana matatizo ya kutofika kileleni au hajawahi kufika mshindo na kuishia kusikia kwa mashoga zake kuwa mapenzi matamu, bila shaka akikueleza hili kabla ya majambozi mtaishia wote kuchanganyikiwa kisaikolojia na hatimaye gemu lenu likawahalina majambozi yaani mtacheza chini ya kiwangoi kuytokana na hofu kutawala.

Katika hali ya kawaida kama mwanamke atashindwa kufikishwa kileleni na ampendaye basi hukosa hamu ya kufanya tendo siku nyingine anapohitajika kutoa penzi na hata akikubali kufanya basi hufanya kwa kutimiza wajibu kwani huwa hajui utamu wa majambozi, na mwanaume anayeshindwa kutotosheleza mpenzi wake kwa kumpa dozi inayostaili hadi kusikia utamu usiosimulika huyo uwezo wake huwa ni mdogo ambapo mimi huwa napenda kumuita jogoo.

Ndiyo je, unashangaa nini ushawahi muona jogoo alivyofasta kumaliza haja zake za mwili na kumuacha tetea akijiuliza anarudi tena ama ndiyo kaenda maana tetea hubaki kachutama akizani jamaa atarudi kumbe ndiyo imetoka babakeee!

Kimsingi mahusiano mengi yamevunjika kama siyo kutawaliwa na usaliti kutokana na tatizo hili hivyo kama wewe ni mwanaume, mwanamke au ni wapenzi ambao mmedhamiliya kujifunza jinsi ya kumfikisha kileleni mwanamke na kumfanya ajisikie furaha ya ajabu ambayo wanawake wachache tu duniani huipata kwa vidume vinavyojua kujishughulisha kunako sita kwa sita yaani namaanisha wanaume wasio wabinafsi kunako majambozi, tafadhali soma makala haya kwa umakini kisha nenda kayafanyiye kazi haya nitaninayokueleza:-

HATUA YA KWANZA: USIMPRESHE WALA KUJIPRESHA!

Kadri mwanamke anavyojitahidi kuvuta hisia na kujishughulisha kwa namna moja ama nyinyingine kuweza kuinua hamasa yake ya mapenzi ili kuhakikisha anafika kileleni, ndivyo atakavyoweza kusikia raha ambayo humuwezesha kufikia mshindo.

Amini usiamini hata wanawake ambao wao wakishikwa kidogo tu kwenye kipengele G yaani g-spot na kupigwa katelelo kwa dk 1 hufika kileleni pindi wanapokumbana na presha kutoka kwa wapenzi wao basi hushindwa kufikiakwenye kilele cha raha hata kama mwanaume huyo atadumu kwenye uwanja wa mapambano kwa dk 30!

Mwanamke yoyote yule anapokumbana na presha zisizo na sababu toka kwa mwenza wake dakika chache kabla ya majambozi au kwenye uwanja wa malavedave basi hushindwa 'kupizi' kwani hata kama wazungu (bao) wakiwa wanakuja na dume likaanza kumpandisha presha wazungu hurudi kwao!

Hali hii haiwakumbi wanwake tu bali hata wanaume hushindwa kuwajibika vema faragha pindi wanapokumbana na presha za hapa na pale toka kwa wawapendao.

Hivyo basi wewe mwanaume ili uweze kumfikisha mwenza wako kileleni unapaswa kuhakikisha unaacha kumuuliza unakuja? siju la azizi unakaribia kukojoa? au mpenzi nakufanya vizuri? unajisikia raha? nakukamua vizuri kuliko ....(unamtajia mpenzi wake wa zamani)?

Njia mbadara ya kukabiliana na presha ni kutoelekeza fikra zako kwenye kupiga mabao, fuarahia mchakato mzima wakufanya mapenzi bila shaka unatambua kuwa mapenzi yanayolenga kufurahishana/kupena traha nyote huhitaji kufuata process zote muhimu na hayataki mapenzi ya kuu yaani yaani unamnyatia mpenzi wako na nadni ya dk 3 umeshamsaula na kumkamua na gemu linaisha mwanamke wa watu hata hisia hazijamuamka kidume uko pembeni unatweta yaani mipumzi ya mmmmh kibao, tumia muda wakutosha kutomasana na katika kipindi hiki cha kuandaana ndipo unapohitaji kuhakikisha unamaliza presha zote mlizonazo.

Hatua hii ya kwanza ukiitekeleza basi unaweza ukabadilika katika mtazamo wako juu ya kufanya mapenzi kwani wanaume wengi huwaza kukamua bao zaidi ya mojawakiamini kuwa kwa kufanya hivyo wanamfikisha mwanamke kitu ambacho nsi kweli kwani mwanamke unaweza ukamkojolea hata bao 7, lakini ukashindwa kumfikisha hivyo kama utaweza kutoa wazo la bao ngapi leo namchapanazo na kuondoa presha pindi mnapokuwa faragha, unaweza kushikwa na butwaa kwa jinsi mtoto wa kike atakavyokuwa anakulalamikia kwa raha anayoipata kitandani na kwa mara ya kwanza unaweza kusikia akikwambia nakuja dear......usiniulize anakuja wapi kudadeki!

HATUA YA PILI:

SAHAU SUALA YA KUJIFUNZA MBINU MPYA YA KUMKAMUA UMPENDAYE

Najua wengi wenu mnanishangaakwani mnaamini kuja na staili mpya kwenye uwanja wa mapambano ndivyo unavyoonyesha uwezo wako wakumudu mambo furani pindi unapokuwa faragha nataka nikuhakikishie kuwa kwa kuja na staili mpya kila kukicha ni vigumu sana kumfikisha mwanamke kileleni kwani yawezekana kabisa staili hiyo ikawa inamuumiza lakini anashindwa kukwambia kwa kuwa tu anataka usimuone mshamba hayajui mapenzi hiyo ataugulia kimya kimya bna kwa sababu hiyo basi mawazo yake yote huamia kwenye jinsi gani atatoa ushirikiano wakutosha kwenye hiyo staili mpya uliyompelekea hivyo basi ni vigumu amasa zake za mapenzi kuamka na kujiskia raha ambayo wewe mwanaume mbinafsi uliyetoka kuangalia mkanda wako wa ngono kama siyo kusimuliwa na wenzako kijiweni staili hiyo uliyoingia nayo ulingoni siku ya shughuli utaipata.

Hapa naomba niseme ukweli wanaume wengi wanapenda staili ya kubongolewa sizungumziii ule mchezo machafu wa tigo naomba nieleweke kwana, mwanaume akibongolewa na kulianzisha humchukua sekundwe kadhaa kupiga bao kwani hujisikia raha isiyo kifani kuyaona matikiti maji (wowowo) likizungushwa kwa madahaa huku nyonga ikienda kushoto kulia na ni balaa mwanamke akiwa anajua kukitumia kiuno chake hapo mwanaume anaweza kushituka hata hajakaa sawa wazungu hao! Ndiyo huu ndio ukweli lakini kwa bahati mbaya wapo dada zangu fulani fulani wao wanaangalia wanenguaji wa akudo huko wanavyochezesha nyonga zao kisha wanaenda kuwakatikia madume zao, hii haikubaliki duniani kote kiuno kinachotakiwa kwenye majambozi ni kile kinachogandishwa kiaina yaani kinapelekwa kushoto,chini, juu, kulia kama vile anayekipeleka hataki vile, yap nimekumbuka ni kama vile viuno vya mitego wanavyocheza wadada fulani kwenye taarabu yaani kama mwanaume umekamilika basi ukamwona dada fulani anacheza taarabu kama umekaa hutoinuka kudadadeki ujasili utautoa wapi wakati athumani kichwa wazi udenda unakuwa ushaanza kumtoka!

Mwanaume unachopaswa kuhakikisha ni kuwa unatumia staili ambayo itamuwezesha na mwenza wako kufika kileleni kisha kuendelea na staili zingine kwani wanawake wengi hufika mshindo mara moja tu na wachache hufika kileleni zaidi ya mara moja na kumbuka wengi hufika kileleni kwa kuchezewa ipasavyo kipengele G yaani sehemu zenye ahamasa ya mapenzi kwa mwanamke kuliko utamu wa kusimikwa mzizi


HATUWA YA TATU

Mjengengee hali yakukuamini katika penzi lenu, hakika mwanamke anapobaini kuwa unampenda na humtendi ni rahisi sana kupata raha ya mapenzi pindi mnapokuwa kwenye majambozi kwani mnapokuwa faragha hisia zake za mapenzi huwa juu sana si kwa kile kinachoendelea kwenye mwili wake bali hupanda juu kwa kuwa yupo na mtu anayempenda na kumthamini na anayejua nini maana ya kupenda hivyo kama kweli unampenda mwanamke unayetaka kuanzisha naye uhusiano ama uliyenaye katika uhusiano wa mapenzi hakikisha unaziba mianya yote ya yeye kuwa na mashaka juu yako yaani mfanye amini kuwa unampenda na ni yeye pekee aliyeiteka nafsi yako.


Mwanamke akiamini unampendahakika utazifaidi zake zabibu na katu hatakusaliti kwani utakuwa unamtosheleza kwa kila kitu yaani unampa mapenzi ya dhati ambayo wengi huitaji lakini huishia mikononi mwa walaghai kadhaa ambao wanajua vema kucheza na lugha na maneno matamu kuwapatia mabini za watu na wakishafunuliwa tu huanza nyodo na pengine kuwasahau wapenzi wao yaani wao kuwasiliana nademu wake kwa wiki mara moja ama wiki mbili mara moja tena mawasilainao yenyewe yanaanza mambo vipi na baada ya dakika chache kidume unaulizia mchezo sasa kwa staili hiyo usitegemee kabisa unapokuwa naye faragha utamdatisha kiasi cha kumfikisha! Thubutu yako atakupa miguno ya kinafiki na kukwambia nakuja kumbe hana lolote amechoka kuendelea kukupa huduma hiyo na anaona unamkera tu kwa kuendelea kwako kuwa kifuani na akiona unang'ang'ania basi bwana size atakupunguzia na kufanya msuguano uwe mkubwa sana kiasi cha kukufanya uhimili kukaa kifuani kwa sekunde kadhaa tu yaani wazungu anawaita kwa nguvu na wao bila hiyana wanakuja na usiombe kama unacheza mechi hiyo bila jezi mziki bake utautambua!

Nimalize kwa kusema kuwa jaribu leo, kesho na siku zote za maisha yako kufanya haya nayokueleza umfikishe kileleni umpendaye kwani vinginevyo wenzio watakusaidiakumuonyesha mpenzio raha za dunia kwa mambo matamu kumpatia na kumfanya abaki akigugumia kwa mambo matamu aliyopatiwa na kumng'angania aliyemjumpatia, usishanagye wapo hivi leo ambao wapo kwenye ndoa zao lakini wanashindwa kuachana na maboyfriend zao kutokana na kukereheshwa na kalaa za ndoa zao kwani waweza kukuta mwanamke amevumilia kwa miaka 10 kumtunzia heshima mumewe lakini janaume likawa linashinda baa wee na kungogewa kuanza kuwalamba wahudumu, sasa mke akibaini na akikutana na walimu vipofu huyooooanaenda kumtafuta bwana wake aliyekuwa anampatia kwenye mechi.